HILI NDILO BENCHI JIPYA LA UFUNDI LA MANCHESTER UNITED


 Benchi jipya la Ufundi la Manchester United kutoka kushoto Phil Neville, Nicky Butt, Paul Scholes na bosi wao, Ryan Giggs katika picha ya pamoja kabla ya mazoezi leo kujiandaa na mechi ya Ligi Kuu ya England dhidi ya Norwich City kesho. Giggs ameteuliwa kuwa kaimu kocha mkuu wa United, baada ya kutimuliwa kwa David Moyes wiki hii kufuatia matokeo mabaya. Je, timu hii mpya ya benchi la Ufundi 

Phil Neville: Alijiunga na Man United mwaka 1992 na hadi anastaafu aliichezea mechi 386, akishinda mataji 10, la Kombe Ligi moja, Ligi Kuu sita na Kombe la FA matatu.

Nicky Butt: Alijiunga na Man United mwaka 1991 na hadi anastaafu aliichezea mechi 387 akishinda mataji 10, Kombe la Ligi moja, Ligi Kuu sita na Kombe la FA matatu.  

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post