Makubwa haya!!! MSICHANA ATAPIKA PESA,MISUMARI NA VITU VINGINE KIBAO ZIKIWEMO PINI

Msichana mwenye umri wa miaka 19 anayetapika pesa na vyuma.
 
Pesa zilizotapikwa na msichana huyo.
Msichana (katikati)akijiandaa kutapika.
Vipande vya misumari vilivyotapikwa na msichana huyo.

MSICHANA mwenye umri wa miaka 19, ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja, anatapika pesa, vyupa, misumari, mayai na pini akiwa kanisani nchini Ghana.
Kwa mujibu wa habari zilizopatikana, msichana huyo alitoweka nyumbani kwao kwa muda wa wiki moja mapema Januari, mwaka huu na aliporejea ndipo alipoanza kufanya vitendo hivyo vinavyohisiwa kuwa vinatokana na imani za kishirikina.

CHANZO NI IREPORTERSTV.CO

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post