Makubwa haya!!! MSICHANA ATAPIKA PESA,MISUMARI NA VITU VINGINE KIBAO ZIKIWEMO PINI
Saturday, March 22, 2014
Msichana mwenye umri wa miaka 19 anayetapika pesa na vyuma.
Pesa zilizotapikwa na msichana huyo.
Msichana (katikati)akijiandaa kutapika.
Vipande vya misumari vilivyotapikwa na msichana huyo.
MSICHANA mwenye umri wa miaka 19, ambaye jina lake halikuweza
kupatikana mara moja, anatapika pesa, vyupa, misumari, mayai na pini
akiwa kanisani nchini Ghana. Kwa mujibu wa habari zilizopatikana, msichana huyo alitoweka nyumbani
kwao kwa muda wa wiki moja mapema Januari, mwaka huu na aliporejea
ndipo alipoanza kufanya vitendo hivyo vinavyohisiwa kuwa vinatokana na
imani za kishirikina.
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin