JINSI CCM ILIVYOIBUKA KIDEDEA HUKO KALENGA,MATOKEO NDIYO HAYA

 
 Wanakalenga Jana Wamechagua Mbunge wa Jimbo lao na haya hapa ndiyo MATOKEO YA JUMLA.Godfrey Mugimwa(32) wa CCM ndiyo mbunge jimbo hilo
 
CCM wamepata Kura 22,962
CHADEMA Wamepata Kura 5,853
Chausta 150.
CCM imeshinda kwa asilimia 79.32%
Chadema kwa Asilimia 20.22%
Chausta Kwa Asilimia  0.52%

Kura halali 28,965, Kura zilizoharibika 576, Kura zilizopigwa 29,541 na Idadi ya wapiga kura walioandikishwa 71, 964!

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post