CCM Balaa!!! YAVUNA WASANII KIBAO SHEREHE ZA MIAKA 37,YUMO JB WA BONGO MOVIE

"Tunawaomba wapenzi wetu wa filamu watambue tunawapenda sana na tunawaheshimu sana, tumelazimika kufanya kile ambacho roho zetu inapenda." JB

Wasanii kadhaa kutoka kambi ya Bongo movies na Bongo flava leo hii wameamua kukata shauri na kuchagua kujiunga na chama cha Mapinduzi  CCM , Wasanii hao ni JB , Banana Zorro, Rich Richie, Mboto , Irene Uwoya, Johari na Wastara...Wasanii hao wamepewa kadi za CCM leo hii na mwenyekiti wa CCM taifa DKt Jakaya Mrisho Kikwete kwenye Sikukuu za maadhimisho ya  miaka 37 ya CCM jijini Mbeya

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post