Harufu ya Mafuriko!!! MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA ZAANZA KULETA ADHA SHINYANGA TAZAMA PICHA HAPA
Friday, January 24, 2014
Hapa ni katika kata ya Kambarage mjini Shinyanga kama unavyoona hapo juu katika picha nyumba ni moja ya nyumba ambapo kamera za malunde1.blogspot.com zilifanikiwa kunasa maji yakiwa yamezingira nyumba hiyo baada ya mvua kunyesha takribani saa moja.
Hali ndivyo ilivyokuwa jana jioni katika eneo hilo la Kambarage katika manispaa ya Shinyanga ambapo vipaumbele vyake kwa sasa ni ujenzi wa kalavati na mitaro
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin