![]() |
Mzee Dude enzi za uhai wake |
![]() |
Habari zilizoufikia mtandao huu wa malunde1.blogspot.com zinasema kuwa Msanii wa kundi maarufu la vichekesho na uigizaji nchini Tanzania la Futuhi Mzee Dude amefariki dunia Leo mida ya saa kumi na moja jioni.Habari zinasema kuwa alizidiwa jana jumapili na kukimbizwa katika hospitali ya Bugando jijini Mwanza
MUNGU AIWEKE ROHO YA MAREHEMU MZEE DUDE MAHALI PEMA PEPONI AMINA!!
Social Plugin