Ni katika eneo karibu na soko kuu la mjini Shinyanga gari ikiwa imetumbukia kwenye mtaro,waliokuwa katika eneo la tukio waliuambia mtandao wa malunde1.blospot.com kuwa dereva wa gari hiyo hakuwa makini wakati akiingia main road akajikuta gari lake likiingia mtaroni na kulazimika kutoa shilingi elfu kwa watu wenye nguvu zao ili kunasua gari yake
Mwenye suti karibu na gari ndiyo aliyekuwa anaendesha gari hiyo,akitafakari namna ya kuondoa gari yake mahali hapo
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin