MFAHAMU MTU MWENYE MUSTACHI MREFU ZAIDI KULIKO WOTE DUNIANI,KAUFUGA ZAIDI YA MIAKA 30
Monday, November 04, 2013
Akiwa na umri wa miaka 58 Muhindi mmoja anayekwenda
kwa jina la Ram Singh Chauhan anajivunia kuwa mtu mwenye mustachi mrefu kuliko
wote duniani, ukiwa na urefu wa fyti 14.
Chauhan, ambaye alikua na kuishi kwenye jiji la
Jaipur ndani ya jimbo la Rajasthan, mustachi huo ni fahari yake kuu. Ametumia
miaka 32 kuufuga na kuupa matunzo yaliyoweza kuupelekea kufika hapo.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin