Bwana Omari mkazi wa manispaa ya Shinyanga akiangalia maji yanayotoka katika chemichemi hiyo,ambapo maji hayo yanatumiwa na wakazi wa eneo hilo kwa kuoga na kufualia nguo kutokana na kwamba maji hayo yana radha ya chumvi
Kulia ni mwandishi wa habari gazeti la Habarileo Kareny Masasy akizungumza na bi Nyerobi ambaye ni mmoja kati ya waliosimulia historia ya chemichemi hiyo ambayo inajulikana kwa jina la Chemichemi ya Malembela.Malembela alikuwa mtemi wa Uzogore ambapo baada ya kifo chake chemichemi ya ajabu ilijitokeza eneo la Ndembezi mjini Shinyanga alikozikwa na katika hali ya kushangaza chemichemi hiyo ikahamia eneo la kitongoji cha Uzogore kata ya Ibadakuli katika manispaa ya Shinyanga
hongera kk kwa kuitangaza shy town kivutio hicho
ReplyDeletePost a Comment