| Ndiyo nyumba ya Tembe iliyoungua katika kijiji hicho cha Ndembezi ndani ya manispaa ya Shinyanga |
| Wakazi wakiwa eneo la tukio |
| Gari la jeshi la zimamoto na uokoaji mkoani Shinyanga likiwa eneo la tukio muda mchache baada ya kupewa taarifa kuwa kuna tukio la nyumba kuungua |
| Miongoni mwa vitu viliyokuwa ndani ya nyumba hiyo,vingine ni nguo,vitanda,vyombo,makochi n.k vilivyoteketea kwa moto ingawa jumla ya thamani yake haikueweza kujulikana mara moja |
| Maafisa wa jeshi la zimamoto na uokoaji wakizima moto huo ingawa pamoja na jitihada zote hizo moto huo ulikuwa umeteketeza mali nyingi |
| Shughuli ya kuzima moto inaendelea |
| Maembe yakiwa ndani ya nyumba iliyoteketea kwa moto unaodaiwa kusababishwa na mkaa uliokuwa ndani ya nyumba hiyo |
Social Plugin