Kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Shinyanga Hamis Mgeja katikati ni Lowasa kushoto ni Askofu wa kanisa AICT dayosisi ya Shinyanga John Nkola |
Kwaya ya AICT SEGESE ikiimba hapo jana |
Harambee inaendelea ambapo
zaidi ya
milioni 212 zimepatikana ambapo malengo yalikuwa milioni 150 na katika harambee
yeye alichangia shilingi milioni tano.
|
Wafanyabiashara mjini Kahama wakichangia na kushikana mkono na mheshimiwa Lowasa |
Waumini katika viwanja vya KANISA LA AICT MJINI KAHAMA |