UKATILI WA KUTISHA,SUNGUSUNGU WAUA MWANAMKE KAHAMA
Wednesday, September 18, 2013
NB HII NI PICHA YA SUNGUSUNGU KIJIJI CHA BUBALE WILAYA YA SHINYANGA SIO WA KAHAMA
Modesta Kazimoto (50) mkazi wa kijiji cha
Nonwe kata ya Ubagwe wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga ameuawa kikatili kwa kukatwa panga kwa shoka kichwani na kundi
la watu wakiongozwa na viongozi wa jeshi la jadi sungusungu wa kijiji hicho.
Tukio hilo limetokea juzi majira ya saa nane
usiku ambapo watu hao walimvamia mwanamke huyo, akiwa amelala nyumbani kwake
kisha kumuua kwa kumkata kwa shoka kichwani upande wa kushoto na kumvunja
mkono wa kulia .
Kamanda wa polisi mkoa wa
Shinyanga Evarist Mangalla amesema watu hao pia walichoma nyumba tatu na chanzo
chake ni imani za kishirikina
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin