MWANAMME ASIYEFAHAMIKA AKUTWA AMEKUFA NDANI YA DIMBWI KARIBU NA BWAWA LA NING'WA
Tuesday, August 13, 2013
NB: SIYO DIMBWI ALIKOKUTWA MAREHEMU
Mwanamme ambaye hajafahamika jina kabila wala makazi yake mwenye umri 35-45 amekutwa amefariki na mwili wake ukiwa ndani ya dimbwi la maji lililopo karibu na bwawa la maji.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa shinyanga kamishina msaidizi wa polisi Evarist Mangalla,tukio hilo limetokea jana majira ya kumi jioni katika eneo karibu na bwawa la Ning'wa lililopo katika kijiji na kata ya Chibe,tarafa ya Old Shinyanga ndani ya Manispaa ya Shinyanga.
Kamanda Mangalla amesema chanzo cha tukio bado hakijafahamika.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin