| Baraza la madiwani wa manispaa ya shimyanga likiendelea jana katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa shinyanga |
| Diwani wa viti maalum Shella Mshandete akisisitiza suala la ujenzi wa vyoo katika shule za manispaa kupewa kipaumbele zaidi |
| wa tatu kutoka kushoto ni ndugu Nkulila akirudi kwenye kiti chake huku akifurahia ushindi |
| Kushoto ni mkurugenzi wa manispaa ya shinyanga Festo Kang'ombe akimpa mkono naibu meya mshindi |
| Naibu meya Nkulila akitoa shukurani baada ya ushindi na kurejea kwa mara nyingine ya pili katika nafasi hiyo ambapo aliwaasa madiwani kuweka pembeni itikadi za kichama pembeni na kufanya kazi |
Social Plugin