KUTOKA BUNGENI: WAFUNGWA KUNYIMWA TENDO LA NDOA NI KINYUME NA HAKI ZA BINADAMU.


Waziri wa Katiba na Sheria Mathias Chikawe  wakati akijibu swali bungeni leo  bungeni na kudai kuwa wafungwa  walipoteza uhuru wao na hivyo wafungwa  walikuwa hawana haki kisheria ya kufanya tendo la ndoa na wenza wao wan doa. Amedai kuwa wafungwa  wakitumikia adhabu ya kunyimwa tendo la ndoa ni moja ya adhabu kwa wafungwa. Jibu hilo liliwaacha wabunge wakilalamika na kusema adhabu hiyo  milikuwa ikipingana na haki ya binadamu.(Picha na Maktaba
 Naibu Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachaweme (kushjoto) akiteta jambo na Waziri wa Zamani wa wizara hiyo William Ngeleja. Simbachawene amedai leo bungeni kuwa hali ya umeme ilikuwa nzuri  hivyo wananchi waendelee na shuguli za maendeleo kama kawaida.
 
source:Dodomayetu

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post