Mpiga gitaa mahiri MOHAMED IDD aka "CONTROL

MOHAMED IDD CONTROL AFARIKI DUNIA


TANZIA, Mpiga gitaa mahiri MOHAMED IDD aka "CONTROL" amefariki dunia leo alfajiri. Wakati wa uhai wake marehemu amewahi kupigia bendi kadhaa zikiwemo Double O ya King Kiki,  National Panasonic, Mlimani Park, OTTU na alienda kufanya kazi Uarabuni na  Zanzibar Sound ya Asia Darwesh. 
Baada ya kukaa Uarabuni kwa muda aliamua kurejea bendi yake ya zamani ya Sikinde. 
Miongoni mwa vibao vilimpatia umaarufu ni pamoja na wimbo Gloria wa OTTU ambao alipiga solo. R.I.P IDD CONTROL
                   SOURCE: musicintanzania.blogspot.com/

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments