CHANZO CHA TUKIO LA MWENYEKITI WA CHADEMA KUCHOMWA MKUKI SHINYANGA CHATAJWA

Jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga limesema chanzo cha mwenyekiti wa Chadema Tawi la Lubaga katika Manispaa ya Shinyanga,Bundala Katunge kuchomwa Mkuki tumboni ni ushabiki wa kisiasa kati yake na kundi la watu ambao miongoni mwao aliwatambua na wote wamekamatwa kwa mahojiano zaidi.

Kamanda wa polisi mkoa wa shinyanga ACP Evarist Mangalla amewaja wanaoshikiliwa kuwa ni Bundala Masanja,Benjamini Kanena,Magembe Makonda na Martine Mashimbi  wote wakazi wa Mwawaza.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments