Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Breaking News : KARDINALI PENGO AFARIKI DUNIA, RAIS SAMIA ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI

 

Askofu Mkuu wa Dar-es-Salaam Thaddeus Ruwa’ichi kwa masikitiko makubwa ametangaza kifo cha Mwadhama Polycarp Cardinal Pengo, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo kuu la Dar-es-Salaam.

Kifo cha Cardinal Pengo kimetokea akiwa katika taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Dar-es-Salaam.



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com