
Sikukuu zilipokuwa zinaendelea, sikutaka kuwa nyuma ya wengine. Nilinunua vyakula, nikasafiri, na nikajipa ahadi kuwa nitashughulikia ada ya shule baadaye.
Lakini baadaye ilipofika, nikaona nimezidisha uwezo wangu. Shule zilikuwa karibu kufunguliwa, nami nilibaki na makaratasi ya matumizi badala ya pesa taslimu.
Social Plugin