Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

MAGANGA ATEMBELEA BANDA LA OFISI YA WAZIRI MKUU KWENYE MAONESHO YA WIKI YA VIJANA MBEYA





Na Mwandishi wetu, Mbeya

Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Bi. Mary Maganga, ametembelea mabanda ya Maonesho ya Wiki ya Vijana Kitaifa, ikiwemo banda la Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu katika maadhimisho ya Wiki ya Vijana Kitaifa 2025 yanayofanyika katika viwanja vya Uhindini jijini Mbeya, leo tarehe 9 Oktoba 2025.

Maadhimisho haya yanaongozwa na kaulimbiu isemayo “Nguvu Kazi ya Vijana kwa Maendeleo Endelevu.”



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com