Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

CCM IMETUHESHIMISHA WANAWAKE KWA KUTUPA SAMIA



Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT), Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC), amesema Chama Cha Mapinduzi kimewaheshimisha wanawake kwa kumteua Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Akizungumza Wanawake wa Mkoa wa Katavi
amesema hatua hiyo ni ishara ya imani kubwa inayooneshwa na chama kwa wanawake wa Tanzania hivyo amesema ni vyema wanawake nchini kumpigia kura Dkt samia pamoja wabunge na madiwani wa ccm kwa wingi ili kupata ushindi wa kushindo ifikapo oktoba 29.








Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com