
Katika maeneo ya shule za bweni mkoani Mbeya, kijana mmoja aliyejulikana kwa jina la Dullah alikuwa anajulikana kwa tabia ya kujitenga sana. Marafiki wake walisema alikuwa haogi pamoja nao, hata baada ya mechi au michezo.
Alionekana mwenye haya kupita kiasi, na wakati mwingine alitumia kila njia kuepuka shughuli za pamoja kama kuoga au kubadilisha nguo mbele ya wenzake. Hali hiyo ilimfanya kuwa mtu wa mwisho kuingia bweni na wa kwanza kutoka bafu.
Social Plugin