Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

FELISTA AJITOSA KINYANG’ANYIRO CHA UDIWANI NGOKOLO


Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Felista Joseph Endr, amechukua na kurejesha fomu ya kuomba ridhaa ya chama hicho ili kugombea nafasi ya Udiwani wa Kata ya Ngokolo, katika Jimbo la Shinyanga Mjini.

Hatua hiyo ni sehemu ya mchakato wa ndani wa CCM unaowapa nafasi wanachama kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com