Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

JE, UNATAKA KUWA MBUNIFU? KARIBU FARMCART SCHOOL OF INNOVATIONS 🚜

 

🎓 JE, UNATAKA KUWA MBUNIFU? KARIBU FARMCART SCHOOL OF INNOVATIONS 🚜 

🎓 Karibu FARMCART SCHOOL OF INNOVATIONS 🚜

Jiunge nasi katika mafunzo ya uundaji wa magari ya kilimo “FARMCART”

VIGEZO:

✅ Umri miaka 18 na kuendelea Jinsia Zote

✅ Uwe tayari kuwa mwanafunzi wa ufundi magari kwa muda mfupi (miezi 3)

📞 PIGA SIMU: 0769 763 285 au WhatsApp: https://wa.me/255769763285  

📍 MAHALI: Chuo cha Ufundi Bravo (B.I.T),

Chuo kipo Maendeleo, Kata ya Mbasa, Ifakara – Morogoro

🛏 Hosteli Zipo

Fomu za Kujiunga zinapatikana chuoni au Bonyeza https://forms.gle/irdwd86nKJVPd5uo8 Kujisajili

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com