Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

VERONICA JULIUS NYAKI AINGIA KWENYE KINYANG'ANYIRO UBUNGE SHINYANGA MJINI

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Veronica Julius Nyaki, ameonesha ujasiri na dhamira ya kweli ya kuwatumikia wananchi kwa kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama chake ili kugombea nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini.

Veronica Nyaki amechukua fomu leo Juni 30, 2025, katika ofisi ya CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini.



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com