Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

RAIS SAMIA AZUNGUMZA NA WALINZI WA JADI (SUNGUSUNGU) KUTOKA TABORA, SIMIYU GEITA, SHINYANGA NA MWANZA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na walinzi wa jadi (Sungusungu) kutoka mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora katika uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza tarehe 20 Juni, 2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwapungia mkono walinzi wa jadi (Sungusungu) kutoka mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora waliokuwa wakipita mbele ya jukwaa kuu katika uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza tarehe 20 Juni, 2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwapungia mkono walinzi wa jadi (Sungusungu) kutoka mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora waliokuwa wakipita mbele ya jukwaa kuu katika uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza tarehe 20 Juni, 2025.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com