Na mwandishi wetu,DAR
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 09, 2025 ameongoza Kikao cha Kamati ya Kitaifa ya Mazishi ya aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Hayati Cleopa David Msuya kilichofanyika katika Ofisi ya ndogo za Waziri Mkuu, Magogoni Jijini Dar es Salaam.
Zifuatazo ni baadhi ya picha za tukio hilo ambalo limewakutanisha viongozi mbalimbali wa Serikali. 👇👇👇👇👇
Social Plugin