Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

MWILI WA HAYATI MSUYA WAWASILI MWANGA















Matukio katika picha wakati wa kuwasili kwa Mwili wa aliyekuwa Makamu wa kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Cleopa David Msuya, ukiwasili katika Viwanja vya Cleopa David Msuya, katika Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro leo Mei 12, 2025.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com