Live : MATANGAZO YA MOJA KWA MOJA HAFLA UTOAJI TUZO 'SAMIA KALAMU AWARDS 2025.. MGENI RASMI RAIS SAMIA!!
Monday, May 05, 2025
Waandishi wa habari kutoka kila pembe ya Tanzania leo Mei 5,2025 wamekutana katika Ukumbi wa Super Dome, Masaki jijini Dar es Salaam kwa tukio kubwa na la kihistoria – Samia Kalamu Awards 2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ndiyo mgeni rasmi katika hafla hii.
FUATILIA MATANGAZO LIVE HAPA
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com
Social Plugin