Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Live : MATANGAZO YA MOJA KWA MOJA HAFLA UTOAJI TUZO 'SAMIA KALAMU AWARDS 2025.. MGENI RASMI RAIS SAMIA!!

  

Waandishi wa habari kutoka kila pembe ya Tanzania leo  Mei 5,2025 wamekutana katika Ukumbi wa Super Dome, Masaki jijini Dar es Salaam kwa tukio kubwa na la kihistoria – Samia Kalamu Awards 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ndiyo mgeni rasmi katika hafla hii.


FUATILIA MATANGAZO LIVE HAPA

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com