NAIBU WAZIRI LONDO ASHIRIKI KUPIGA KURA KATIKA KITONGOJI CHA MJI MPYA MIKUMI
Wednesday, November 27, 2024
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika mashariki anayeshughulikia masuala ya Jumuiya ya Afrika Mashariki Mhe. Dennis Lazaro LONDO (Mb.) ambaye pia ni Mbinge wa jimbo ka Mikumi, leo tarehe 27 Novemba, 2024 ameshiriki kupiga kura katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika kitongoji cha Mji mpya jimboni kwake mikumi.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin