HUU UPENDO WA DR. MANGURUWE NI WA KIMBINGU.... AMLIPIA BW. HARUSI CHUKUCHUKU MAHARI
Thursday, August 08, 2024
Kijana Edward Mfutakamba ambaye wiki iliyopita alifunga Harusi bila mke kwa sababu ya kukosa kumalizia Mahari na kujikuta anafanya maamuzi ya kufanya harusi bila mke kuwepo. Jana aliomba msaada kwa Mfanyabiashara na Mfugaji maarufu DR.MANGURUWE na Leo DR.MANGURUWE @drmanguruwe ameweza kumsaidia msaada huo.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin