BALOZI MAVULA AFANYA KIKAO NA MWENYEKITI WA MOM PAMOJA NA WASANII TANZANIA
Wednesday, July 03, 2024
Mapema leo, mwenyekiti wa Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao (MOM) akiongoza wasanii wa Filamu Tanzania kwenye kikao rasmi na Balozi wa Tanzania nchini Korea ya Kusini, Mheshimiwa Balozi Togolani Mavura jijini Seoul, Korea ya Kusini.
Wasanii hao wapo katika ziara ya siku kadhaa ya kujifunza mambo mbalimbali ya Filamu .Huu ni muendelezo wa ziara iliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzani mapema mwezi huu alipotembelea nchi hiyo.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin