![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiaFfo12YAVG6KBpNtw24epMx6L1HooQiArpqpc1Gok5QsHR8EkvPLIYChxNkmrPTIULpLG3xg1OqImgKyfpHRNdqhHYwaDsSfFl9HD0qjxagbOMKIqkGGD4dqrYRsbM1yE7LfiySCHXIwNOQXw1OBCeNKx1sIKgb619oXvL8gYBQS7VOBK2Shcy_av9w/w640-h534/IMG-20240506-WA0030.jpg)
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Prof. Adolf Mkenda kesho Jumanne, Mei 07, 2024 anatarajiwa kuwasilisha Bajeti ya Wizara ya Elimu kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025.
Hotuba yake itajumuisha utekelezaji na mafanikio yaliyopatikana kwenye Sekta ya Elimu kupitia Bajeti ya Elimu kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 pamoja na Mpango na Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025
#ElimuUjuziNdioMwelekeo