MR. MANGURUWE APEWA ZAWADI YA PUNDA KWA WAMASAI

Mwanzilishi wa mradi mkubwa wa ufugaji wa nguruwe mkoani Dodoma wa Saimon Mkondya maarufu kama Mr Manguruwe amepewa zawadi ambao hakuitarajia ya punda na wanawake wa jamii ya wafugaji wa Kimasai.

Mr Manguruwe amepewa zawadi hiyo baada ya kutoa darasa na kuwaelimisha wanawake hao kuwa ufugaji wa nguruwe unalipa kuliko mifugo yote.

Hayo yametokea katika Kijiji cha Tarangire Mkoani Manyara.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post