UWEKEZAJI KWENYE MIUNDOMBINU YA UHIFADHI WA MAZAO UNAENDELEA


Wizara ya Kilimo imeendelea na mikakati kabambe ya uwekezaji kwenye miundombinu ya uhifadhi wa mazao ili kuhakikisha nafaka na mazao mbalimbali yanakidhi vigezo vya ubora katika soko na yanakidhi vigezo vya ubora vya Kimataifa.

Uimarishaji wa miundombinu hii inasaidia kuhakikishia nchi Usalama wa Chakula na kudhibiti magonjwa kama Sumukuvu kwani miundombinu hii huwezesha nafaka kuhifadhiwa kwa muda mrefu bila kuathiri ubora wake.

Pia uwekezaji wa miundombinu ya uhifadhi husaidia kulinda ubora wa nafaka ili kumsaidia mkulima kupata bei nzuri na yenye ushindani katika masoko ya ndani na nje ya nchi



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post