ZAIDI YA WAKULIMA 13,158 WANUFAIKA NA HUDUMA ZA UGANI

 Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Bajeti ya Wizara ya Kilimo kwa mwaka 2023/2024 imenunua leseni za kudumu 143 ili kuwezesha vifaa vya kupima afya ya udongo (soil scanner) kufanya kazi iliyokusudiwa. 


Aidha, hadi kufikia tarehe 24 Aprili, 2024 jumla ya sampuli 14449 katika mashamba yenye ukubwa wa ekari 49633 zimepimwa afya ya udongo ambapo zaidi ya wakulima 13,158 wamenufaika

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post