JOSEPHINE MATIRO AONGOZA MJADALA KATIKA KIKAO CHA WADAU TEMESA SHINYANGA
Friday, March 15, 2024
Mwakilishi wa Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Dedan Rutazika akikagua vifaa vya kisasa vinavyotumiwa na Temesa leo tarehe 14 Machi 2024 wakati wa kikao cha wadau wa TEMESA Mkoa wa Shinyanga kilichofanyika katika ukumbi wa Whiteshi Paradise Hoteli Mjini Shinyanga.
Amewataka wadau kujitahidi kulipia huduma wanazozipata kwa wakati ili TEMESA iweze kutoa huduma endelevu. Mwakilishi wa Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Dedan Rutazika akizungumza na wadau wa Temesa
Mkurugenzi wa Huduma Saidizi Josephine Matiro akizungumza kwenye kikao cha wadau wa TEMESA Mkoa wa Shinyanga kilichofanyika leo tarehe 14 Machi 2024.
Mabalozi wa Temesa mkoa wa Shinyanga wakiwa kwenye picha ya pamoja katika kikao cha wadau wa Temesa
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin