CHATANDA NA SHOMARI WAMLILIA MZEE MWINYI

 

 

Viongozi wa Umoja wa wanawake Tanzania ( UWT)Chini ya Mwenyekiti wake Ndg Mary Chatanda na Makamu wake Zainab Shomari wameungana na viongozi mbalimbali kuaga mwili wa Rais Mstaafu wa awamu ya pili ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi katika uwanja wa Amani Stadium, Zanzibar tarehe 02, Machi , 2024

Pumzika kwa Amani Mzee wa Rukhsa

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post