DKT. NCHIMBI AKISALIMIANA NA VIONGOZI MBALIMBALI KATIKA UWANJA WA KIA, MKOANI KILIMANJARO

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Balozi Emmanuel John Nchimbi, akisalimiana na kubadilishana mawazo na viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali, alipokutana nao wakati wa kusubiria usafiri, Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), mkoani Kilimanjaro.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post