BUNGE LAPITISHA SHERIA KUKOMESHA ULAJI NYAMA YA MBWA


Bunge la Korea kusini limepitisha sheria mpya ambayo imeonekana kuwa mtihani kwa walaji na watumiaji wa nyama ya mbwa.

Sheria hiyo ambayo imelenga kukomesha uchinjaji na uuzaji wa nyama ya mbwa, Desturi ambayo imekuwa ikitumika kwa wananchi wa Korea kusini kwa zaidi ya karne hivi sasa.

Na kwa ambaye atapatikana kujihusisha na biashara ya kuuza na kununua mbwa kwa lengo la kitoweo, basi adhabu kali ikiwemo kifungo itaambatana naye.

Chanzo: BBC

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post