WAJUMBE TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI WATEMBELEA MAONESHO YA WIKI YA SHERIA DODOMA


Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Tume, Mhe. Jaji wa Rufaa (Mstaafu), Mbarouk Salim Mbarouk leo Januari 29,2024 wametembelea maonesho ya maadhimisho ya Wiki ya Sheria kitaifa yanayofanyika katika viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma. Maonesho ya Wiki ya Sheria yalianza Januari 24, 2024 na yanatarajiwa kufikia tamati Januari 30,2024.


Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Tume,Mhe. Jaji wa Rufaa (Mstaafu), Mbarouk Salim Mbarouk leo Januari 29,2024 wametembelea maonesho ya maadhimisho ya Wiki ya Sheria kitaifa yanayofanyika katika viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma. Maonesho ya Wiki ya Sheria yalianza Januari 24, 2024 na yanatarajiwa kufikia tamati Januari 30,2024.
Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Tume,Mhe. Jaji wa Rufaa (Mstaafu), Mbarouk Salim Mbarouk leo Januari 29,2024 wametembelea maonesho ya maadhimisho ya Wiki ya Sheria kitaifa yanayofanyika katika viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma. Maonesho ya Wiki ya Sheria yalianza Januari 24, 2024 na yanatarajiwa kufikia tamati Januari 30,2024.
Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Tume, Mhe. Jaji wa Rufaa (Mstaafu), Mbarouk Salim Mbarouk leo Januari 29,2024 wametembelea maonesho ya maadhimisho ya Wiki ya Sheria kitaifa yanayofanyika katika viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma. Maonesho ya Wiki ya Sheria yalianza Januari 24, 2024 na yanatarajiwa kufikia tamati Januari 30,2024.
Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wakiwa katika picha ya pamoja. Katikati ni Makamu Mwenyekiti wa Tume, Mhe.Jaji wa Rufaa (Mstaafu), Mbarouk Salim Mbarouk. Wengine waliokaa kutoka kushoto ni Mhe. Jaji Asina Omari, Mhe Balozi Omar Ramadhani Mapuri. Waliosimama kutoka kushoto ni Mhe. Jaji wa Rufaa Mwanaisha Kwariko, Mhe. Dkt. Zakia Mohamed Abubakar na Mhe. Magdalena Rwebangira.


Wajumbe wa Tume, Mhe.Jaji (R) Mwanaisha Kwariko (Kulia) na Mhe. Jaji Asina Omari wakiwa katika Banda la Chama cha Majaji na Mahakimu Wanawake Tanzania (TAWJA).

Wajumbe wa Tume, Mhe.Jaji (R) Mwanaisha Kwariko (Kulia) na Mhe. Jaji Asina Omari wakiwa katika Banda la Mahama Kuu upande wa Mirathi.

Mjumbe wa Tume, Mhe. Magdalena Rwebangira akiwa katika Banda la wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA).

Mjumbe wa Tume, Mhe. Jaji Asina Omari akiwa katika Banda la Chuo cha Mahama Kushoto (IJA).
Makamu Mwenyekiti wa Tume,Mhe. Jaji wa Rufaa (Mst) Mbarouk Salim Mbarouk akiwa katika Banda la Wadau wa Hakika Jinai.

Wajumbe wa Tume, Mhe.Jaji (R) Mwanaisha Kwariko (wapili kushoto) na Mhe. Jaji Asina Omari (kushoto) wakiwa katika Banda la Mahama Kuu upande wa Mirathi.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post