SHUWASA YATOA CHAKULA KWA WENYE UHITAJI

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA) imewakumbuka watu wasiojiweza katika Manispaa ya Shinyanga kwa kuwapa zawadi za mwaka mpya ikiwa ni sehemu ya kurudisha kwa jamii.

Zawadi hizo zimejumuisha mchele, mafuta ya kupikia, sukari na sabuni ambapo jumla ya watu 13 wamepatiwa msaada huo ambapo zawadi hizo ni mchele kilo tano, sukari kilo mbili, mafuta ya kula lita tatu na sabuni miche miwili.

Aidha SHUWASA imekuwa ikiwasaidia watu hao wenye uhitaji ikiwa ni pamoja na kuwalipia bili za maji za kila mwezi.









Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post