MIILI YA WATU WALIOFARIKI KWA MAFURIKO HANANG KUAGWA LEO
Monday, December 04, 2023
Baadhi ya miili ya marehemu waliofariki katika maporomoko ya matope katika Wilaya ya Hanang’ mkoa wa Manyara ikiwa katika viwanja vya Shule ya Msingi Katesh kwa ajili ya kuagwa. Mhe. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa anaongoza zoezi la kuaga miili hiyo leo Disemba 4, 2023.
<<TAZAMA PICHA>>
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin