MIILI YA WATU WALIOFARIKI KWA MAFURIKO HANANG KUAGWA LEO

Baadhi ya miili ya marehemu waliofariki katika maporomoko ya matope katika Wilaya ya Hanang’ mkoa wa Manyara ikiwa katika viwanja vya Shule ya Msingi Katesh kwa ajili ya kuagwa. Mhe. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa anaongoza zoezi la kuaga miili hiyo leo Disemba 4, 2023.

<<TAZAMA PICHA>> 







Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post