RAIS MWINYI AKABIDHI CHETI CHA SHUKURANI YA UDHAMINI e-GA



Na Mwandishi Maalum. 

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, akimkabidhi cheti cha shukrani ya udhamini Mkurugenzi wa Huduma za TEHAMA wa  Mamlaka ya Serikali Mtandao ( e-GA) Ricco Boma, kwenye Mkutano Mkuu wa 7 wa Mashirika ya Utangazaji ya Umma Kusini mwa Afrika (SABA). 

Mkutano huo unafanyika kwa siku tatu kuanzia  Oktoba 10 hadi 12 katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Kisiwani Unguja ambapo  e-GA ni miongoni mwa wadhamini wa mkutano huo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post