DKT. BITEKO AWATAKA WATUMISHI MADINI MTWARA KUSHIRIKIANA





Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko leo Agosti 24, 2023 ametembelea na kuzungumza na watumishi wa Ofisi ya Madini Mkazi Mkoa wa Mtwara.

Aidha, Dkt.Biteko amekutana na kuzungumza na Uongozi wa Wachimbaji Wadogo wa madini Mkoani Mtwara.



Taarifa rasmi itawasilishwa. Zifuatazo ni baadhi ya picha katika kikao hicho kifupi.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post