DCEA YAFANYA ZIARA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MWALIMU JULIUS NYERERE DAR


Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Aretas Lyimo , leo tarehe 21 Julai, 2023 amefanya ziara ya kikazi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere na kufanya kikao na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya uwanja huo kwa lengo la kuimarisha mahusiano kati ya DCEA na JNIA.



Katika kikao hicho wamejadili na kubadilishana uzoefu wa kiutendaji na kuazimia mambo kadhaa yatakayosaidia kudhibiti usafirishaji na uingizaji wa dawa za kulevya nchini.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post