Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) umewakutanisha wadau wa masuala ya jinsia katika Mjadala na Uchambuzi wa Bajeti ya Taifa ya Mwaka wa Fedha 2023/2024 maarufu ‘Kijiwe cha Kahawa’ ili kuwapa fursa kufuatilia mubashara Taarifa ya Hali ya Uchumi kwa mwaka 2022 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2023/2024 pamoja na Hotuba ya Bajeti ya Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 ikiwasilishwa Bungeni Jijini Dodoma na Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Soma pia :
TGNP YAKUTANISHA WADAU KATIKA KIJIWE CHA KAHAWA KUFUATILIA MUBASHARA TAARIFA HALI YA UCHUMI NA BAJETI YA TAIFA
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEimkJpwoM-AkfHEZYYSSu_wyquautwyeN-xoHNkHx_OlzW8VPNvnDBiMBBHOxFmxP7Ga8J83gEso69B4rYpvECPhVFms2nhqXVrsGNibtlyp6GLbK7Iw3pl-CWFcAAJ62IeJ3cJfI7BByXNg4noph8a_BzYeCyN56b_k3Zd4lYJTNz9FmyWQydFfAM/s600/2C0A9428.jpg)