Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) umewakutanisha wadau wa masuala ya jinsia katika Mjadala na Uchambuzi wa Bajeti ya Taifa ya Mwaka wa Fedha 2023/2024 maarufu ‘Kijiwe cha Kahawa’ ili kuwapa fursa kufuatilia mubashara Taarifa ya Hali ya Uchumi kwa mwaka 2022 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2023/2024 pamoja na Hotuba ya Bajeti ya Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 ikiwasilishwa Bungeni Jijini Dodoma na Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Soma pia :
TGNP YAKUTANISHA WADAU KATIKA KIJIWE CHA KAHAWA KUFUATILIA MUBASHARA TAARIFA HALI YA UCHUMI NA BAJETI YA TAIFA

Post a Comment