NILILIA MACHOZI BAADA YA KUMBEBESHA MKE WANGU UJAUZITO

Tumekaa kwa pamoja kama mume na mke kwa zaidi ya miaka kumi na tisa bila ya kupata mtoto yoyote yule , hatukujali maneno waliyouwa wakiyasema majirani , ndugu na marafiki pamoja kuwa mwanzoni ilitupa sana shida kama familia lakini tulianza kulizoea polepole na baadaye likawa ni sehemu yetu ya maisha.

Mwanamke wangu nilimpenda sana na kwakweli sikuwahi kuwaza kama ningemuacha kwa sababu ya kutokumzalisha nilipomuona tayari alikuwa na mtoto wa kike wa miaka saba , kiufupi ni kwamba mimi ndiye niliyekuwa ninachangamoto kwenye mifumo ya uzazi wangu.


Tatizo hili tulilijuwa mapema kabisa mara tu baada ya kumuowa mwanamke huyo japokuwa na kufahamu shida ile na kuzunguka katika kila kona ya mahospitali na kwa wataalamu wa tiba asilia zilio husu uzazi lakini hatukufanikiwa, ni daktari BAKONGWA mmiliki wa tovuti za https://bakongwadoctors.com ambaye kwa ushauri wa baadaye sana na kushindwa kupata msaada wa aina yoyote ule ikiwa tumekwisha kata tama ndipo tulipata nambari zake za whatsapp +243990627777.


Sikuwa mtu wa kujihusisha sana na makundi ya vijiweni kwa kuhofia kukutana na maneno yaleyale ya kila siku yaliyo husu mimi kukaa na mwanamke karibia miaka ishirini bila ya kumzalisha , ikawa baada ya kazi ninakwenda moja kwa moja mpaka nyumbani kuendelea na shughuli nyingine za pale nyumbani.

Ushauri wa madktari kutoka mahospitali makubwamakubwa niliufuata kwa zaidi ya miaka mitatu mfululizo wao walisema ninachangamoto kwenye mbegu zangu za kiume ambazo zinafanya nishindwe kumzalisha mwanamke wakasema nichaguwe aina ya vyakula , nifanye mazoezi ya kiafya na kunipa dawa za vidonge ambazo waliahidi nikizitumia kwa muda wa siku ishirini na mmoja nitakuwa sawa.

Ukiwa na shida kwa kweli utafanya lolote lile nilimeza vile vidonge kwa wiki tatu kama walivyosema lakini kila nilipokutana na mke wangu hatukubahatika kupata moto , watalaamu wa tiba za kiuzazi nao pia wakanifanyia dozi ya kusafisha mirija lakini bado haikuwa msaada kwangu na mke wangu ambaye tulitafuta sana mtoto kwa nguvu zote.

Nilibadili hospitali na wao wakawa wanasema kila wanalolijuwa wengine wakasema nilikuwa nimepata magonjwa sugu ya uzazi hapo nyuma yawezekana ikawa ndio changamoto kwangu yakufanya nishindwe kumzalisha mke wangu.Siku ambayo niliwahi kutoka kazini jioni nilirudi nyumbani na ndio hii siku ambayo nilibahatika kukutana na taarifa za babu BAKONGWA.


Kwenye mitandao huko nilikutana na nambari zake za whatsapp bna taarifa zilizomzungumzia tovuti zake nikamtafute kisha tukafanya mazungumzo nilimfahamisha kuwa tuko pamoja na mke wangu kwa zaidi ya miaka ishirini na mpaka kwa wakati ule nilikuwa na miaka hamsini na saba bila ya mtoto wakumzaa mimi mwenyewe.


Daktari akanisikiliza kwamakinin kisha akanifahamishe nilipie kiasi kidogo cha pesa cha kuangalia ni nini kiko juu yangu baada ya yeye kufanya hivyo akajibu kuwa nitakutumia dawa , nilipokea dawa siku ya pili iliyofuata iliyokuwa na kikaratasi cha kutumia kwa muda wa siku mbili, niliporudi kukutana na mke wangu katika siku za hatari baadaye siku chache tulianza kuona dalili za yeye kuwa mjamzito bila ya hata kupima.

Ninashukuru sana daktari kwa dawa zako nimekia kwa furaha ninajivunia mtoto wangu huyu wa uzeeni.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
أحدث أقدم