ILIFIKIA HATUA YA KUJIUZA ILI KUWATUNZA WATOTO WANGU

Naitwa Asha ni Mama wa watoto wanne, mmoja wa kiume na watatu wa kike, dua yangu siku zote kama mzazi ni kuwaombea watoto wangu kufanikiwe kimaisha maana mtu anapokuwa mzee watoto ndio wanaomtunza.

Mwaka 2013 niliachana na Baba yao na kuamua kuishi pekee yangu na watoto  kutokana na kukithiri kwa tabia mbaya ya Baba watoto wangu, tabia ambayo nilivumilia kwa miaka mitano nikidhani atabadilika ila haikuwa kama nilivyokuwa nategemea.

Baada ya kuachana naye kwa muda mfupi alioa mwanamke mwingine ila sikushangaa kwa nini ameoa kwa muda mfupi sana kwani nilijua tu tabia yake ya kupenda wanawake wengi hawezi kukosa, pia alitumia nafasi hiyo kama kunikomoa.

Maisha yalisonga japo Baba watoto wangu baada ya kuachana naye hakujishughulisha na jambo lolote kuhusu watoto wetu, sio kwa upande wa chakula, mavazi wala elimu ambayo ndio haki yao kubwa na muongozo wa maisha yao hapo baadaye.

Kama Mama nilijitahidi kadiri niwezavyo hadi ikafika hatua ya kulala na wanaume ambao siyo rika langu ilimradi watoto wangu wasome na kupata chakula japo niliwaficha sikutaka wajue jinsi ninavyoangaika juu yao.

Hayo yote niliyafanya kwa ajili ya watoto wangu wala sijutii kufanya vile maana nilitaka waishi vizuri ila hawakuweza kulitambua hilo baada ya kukua zaidi. Walianza kunionyesha dharau kadiri walivyoweza ila kama mzazi niliwaombea dua nzuri kwa Mungu ili aweze kuwafungua macho.

Ilifika hatua hawanisaidi kitu chochote hata nikiwaambia wapike chakula hawataki kabisa, mtoto wangu wa kiume kazi yake ilikuwa ni kubeba vyuma tu kupandisha kifua juu, na hao wa kike ndio walikuwa balaa kabisa, kazi yao ilikuwa ni kula tu Chips za wanaume.

Kutokana na tabia zao ilinibidi niende makanisa mbalimbali kwa ajili ya maombi ili nione kama watabadilika ila hawakubadilika hadi nikapata ugonjwa wa Presha kutokana na msongo wa mawazo niliokuwa nao.

Kama mzazi nishindwa kipi cha kufanya kwa sababu sikuweza kuwafukuza na hawana pakwenda na hawatapata Mama mwingine zaidi yangu, hivyo niliamua kuwavumilia na kuona kama kuna siku watabadilika.

Siku moja nilikutana na rafiki yangu wa zamani sana ambaye nilisoma naye, nilimueleza kuhusu changamoto ambazo nimekuwa nikipitia katika maisha yangu, alisikitika sana na kuniambia watoto wangu kama nitaamua kuchukua hatua.

Hatua hiyo ni kupata msaada wa tiba ya mitishamba au tiba asilia kutoka kwa African Doctors, aliweza kunipatia namba zao na kufika Ofisini kwao ambapo walinifanya tiba na kunihakikishia baada ya muda mfupi nitaanza kuona matokeo mazuri. Nashukuru kwa sasa watoto wangu wametulia na wanafanya kazi na ndio wanaonitunza wakati huu.

Kufahamu mengi zaidi wasiliana na African Doctors kwa namba; +254 769 404965, tembelea tovuti yao; www.african-doctors.com au watumie email; africandoctorheals@gmail.com.

Mwisho.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments