NILICHEZEWA NISITUNZE PESA MFUKONI

Ninafanya kazi nzuri kwenye shirika lisilo la kiserikali la kusaidia watoto yatima, wazee na wale waote wasio jiweza Dodoma huko shirika letu linaitwa Diamanda Foundation sio kongwe sana lina kama miaka kumi sasa tangu tulizinduwe,tunategemea kupokea misaada kwenye mashirika mbalimbali, serikalini , na taasisi nyingine zote zinazoguswa na huduma yetu tunayoitowa hapo ofisini.


Mshahara wangu ni mzuri unakidhi familia na kuiendesha vizuri bila ya changamoto yoyote ile. Ninaye mke na watoto wawili wa kiume bado ni wachanga na hawasomi wanashinda nyumbani na mama yao .Shirika hili nililifunguwa mimi na rafiki yangu Remmy na lilipokuwa tukaajiri wenzetu kadhaa sasa linazaidi ya wafanyakazi thelathini ambao wote wanafurahishwa na ufanyaji wetu wa kazi na malipo yetu pia.

Kwa muda ambao nimefanya kazi ningekuwa nimefahamu daktari BAKONGWA mapema nisingekuwa mtu wa kulia shida tena kama wengine au angalau ningezijuwa tovuti zake https://bakongwadocotors.com  tu mimi nisinge jutia muda ambao nimeupoteza kipindi chote cha ufanyaji wangu wa kazi pale ofisini kwetu.

Hali yetu ya familia ni ya kawaida sana tumepanga nyumba ambayo kwa nyuma ina majirani wasioishi pale na mara kadhaa huwa hawaonekani kabisa zaidi ya wiki mbili mpaka tatu bila ya taarifa zozote.Kila ninapopokea mshahara nazingatia sana familia na kumpatia mke wangu kwa kuwa yeye ndiye mama wa nyumbani ninamuacha afanyemipango ya matumizi na kiasi kingine kina chobaki ninakitunza humohumo ndani.

Jambo la kushangaza ni kila mara ninapotenga fedha ya kumpatia mama watoto kiasi kingine kinachobaki ni kikubwa lakini huwa sielewi kimetumikatumika vipi au kimeenda wapi – yaani huwa yanajitokeza matumizi na mahitaji ambayo hayakuweko kwenye malengo wala sikuyatarajia kabisa siku hizo za usoni mwetu.

Mara ya mwisho kabla ya kuligundua hili ni pale nilipompatia mke wangu fedha za matumizi kisha baada ya hapo mtoto akaumwa ghafla na sikuwa hata na senti yoyote ile mfukoni na ukiangalia ni siku mbili tu zimepita toka siku ya kupokea mshahara ipite, nusura nimpoteze mwanangu kwa kushindwa kutunza pesa ilikuwa ni msululu wa madeni kwangu.

Nikawashuku wale waliokuwa majirani zetu kuwa walikuwa wanafanya chuma ulete kwangu au chochote kilicho jihusisha na upooteaji na matumizi yasiyo na malengo kwenye pesa zangu.Nikaamua kuleta mchungaji kwangu afanye ibada ya pamoja na sisi kama familia hilo lilikwisha lakini bado pesa zangu hazikuonekana zilikwisha hovyohovyo bila ya mipangilio.

Sasa majirani zangu walihama lakini bado hali yangu ni ileile pesa zangu hazikai na wala matumizi yake hayaonekani, nikaamuwa kuhamanyumba labda nitapata aahuweni ila bado hakuna kilichokwenda sawa kwangu.Nikiwa mwenye hali ya kuonesha kushindwa na kuridhika na mateso yale nikapewa ushauri na Remmy nimtafute daktari bakongwa kwenye nambari zake za whatsapp +243990627777 naye atanisaidia, nilifanya hivyo .

Daktari alipopata taarifa zangu akafanya utaalamu wake kisha akagunduwa kuwa kuna watu upende wa marafiki zangu hawapendi wamafinikio na walikuwa wamenifunga nisikae na pesa na ndio kila wakati yalikuja matumizi yasiyo ya msingi akanipa dawa yangu na familia tukatumia sasa maendeleo ya kiuchumi ninayaona nina miliki hata kigari cha kutembelea asante sana daktari.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments